Kichwa kingine tena kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Flavour, anajulikana kwa jina la kisanii Najim Melody kutoka studio za Jaka records zilizopo Temeke jijini Dar es salaam, ameachia ngoma mpya kabisa #Daine iliyopikwa ndani ya studio ya Jaka Records
Kwa kumsaport/kumtiam moyo sikiliza na kupakua (Download) kupitia www.kwetukwanzatz.blogspot.com, kisha mpe coment yako pale utakapoona panastahili, lakini pia unawezakumpa hongera zake pale alipofanya vyema.
Kwa kumsaport/kumtiam moyo sikiliza na kupakua (Download) kupitia www.kwetukwanzatz.blogspot.com, kisha mpe coment yako pale utakapoona panastahili, lakini pia unawezakumpa hongera zake pale alipofanya vyema.