Hatimaye mkuu wa mkoa wa Dar es salaama afunguka juu ya utata wa majina yake, mzozo wa kuwa aliye mkuu wa mkoa wa Dar anaitwa Poul Christian Makonda au ni Daudi Bashite ulipata umaalufu sana baada ya wanasiasa na baaddi ya watu walio nje ya siasa kulivalia njuga na kutaka kupata maelezo toka kwa mkuu huyo wa mkoa kutoa tamko juu ya majina hayo.
Sikiliza majibu ya mkuu huyo wa mkoa kutoa ufafanuzi pindi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Television cha Star TV.
0 comments:
Post a Comment