True entertainment begins at home

NEW SONG:Najim Melody- Daine (Official audio)

Kichwa kingine tena kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Flavour, anajulikana kwa jina la kisanii Najim Melody kutoka studio za Jaka records zilizopo Temeke jijini Dar es salaam, ameachia ngoma mpya kabisa #Daine iliyopikwa ndani ya studio ya Jaka Records

Kwa kumsaport/kumtiam moyo sikiliza na kupakua (Download) kupitia www.kwetukwanzatz.blogspot.com, kisha mpe coment yako pale utakapoona panastahili, lakini pia unawezakumpa hongera zake pale alipofanya vyema.


0 comments:

Post a Comment